1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kundi la wanaharakati Zanzibar ladai kura ya Maoni kuhusu Muungano

11 Aprili 2012

Kisiwani Zanzibar walikusanyika kundi la watu katika baraza la wawakilishi wakitaka kuitishwe kura ya maoni.

https://p.dw.com/p/14bYO
Wananchi wa Zanzibar wataka kuitishwe kura ya maoni
Wananchi wa Zanzibar wataka kuitishwe kura ya maoniPicha: DW

Huko Zanzibar Tanzania, kundi la watu walikusanyika leo (11.04.2012) katika viwanja vya baraza la wawakilishi wakidai kuitishwa kura ya maoni kuhusu suala la Muungano kati ya iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar 1964 na kuundwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliopo hii leo.

Mohamed Abdul-rahman alizungumza na Rashid Hadi anayedaiwa kuwa kiongozi wa kikundi hicho na kwanza anaelezea sababu za kukusanyika kwao.

(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Mohammed Abdul-Rahman

Mhariri: Daniel Gakuba