1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kodi yafukuza watalii Tanzania

Charles Ngereza30 Juni 2016

Baada ya Bunge la Tanzania kupitisha bajeti iliyoweka kodi ya ongezeko la thamani katika sekta ya utalii, kampuni kubwa za mawakala wa utalii jijini Arusha zimeripoti kuwa zaidi ya wageni 8,000 wamekatiza safari na kupoteza kiasi dola milioni sita.

https://p.dw.com/p/1JGvD