1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kiswahili chapotea Burundi

20 Agosti 2013

Mtaa wa Buyenzi nchini Burundi ulikuwa maarufu kama "Mtaa wa Waswahili" kwa miongo kadhaa, ambapo lugha na utamaduni wa Mswahili vilitukuzwa na kuenziwa, lakini sasa mambo yanaanza kubadilika.

https://p.dw.com/p/19Shd
Amida Issa, DW Kiswahili Correspondent in Bujumbura, Burundi Januar, 2013, Bonn
50 Jahre Kisuaheli RedaktionPicha: DW

Hamida Issa anaangalia kuinuka na kuporomoka kwa utamaduni wa Mswahili nchini Burundi. Kusikiliza makala hii, fadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Hamida Issa/DW Bujumbura
Mhariri: Mohammed Khelef