1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kiongozi mpya wa ANC aahidi kupambana na rushwa

Sudi Mnette
21 Desemba 2017

Kiongozi mpya wa ANC aapa kukabiliana na rushwa, MONUSCO kufunga kambi zake nne mashariki mwa Kongo na Umoja wa Mataifa kuunga mkono azimio la kuikosoa kauli ya Donald Trump ya kuutambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

https://p.dw.com/p/2pmAV