1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya yakumbwa na hofu inaposogelea uchaguzi Mkuu

Lilian Mtono
1 Agosti 2017

Kenya yaingiwa na wasiwasi katika wiki ya mwisho ya kampeni, Mkurugenzi wa mawasiliano wa Ikulu ya White House Anthony Scaramucci afutwa kazi baada ya kuhudumu kwa siku 10, na Polisi wamwagwa nchini Liberia wakati kampeni za urais zikianza. Papo kwa Papo: 01.08.2017

https://p.dw.com/p/2hWGO