Kenya: Shambulio la kigaidi mjini Mombasa
25 Juni 2012Matangazo
Vikosi vya usalama vimesema kwamba idadi ya waliokufa sasa imefikia watu watatu.
Mwandishi wetu aliyeko Mombasa, Eric Ponda na maelezo zaidi kuhusu hali ilivyo .
(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi Erick Ponda
Mhariri: Abdul-Rahman,Mohammed