1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Katibu wa tume ya uchaguzi wa chama cha CUF ziarani katika nchi za Skandinavia

1 Oktoba 2009

<p>Katibu wa Tume ya Uchaguzi ya Chama cha CUF huko Tanzania, Muhene Said Rashid, anazitembelea nchi za Skandinavia za Finland, Sweden na Denmark.

https://p.dw.com/p/JvnA
Anajaribu kuzihimiza nchi hizo, hasa kwa vile Sweden hivi sasa ni rais wa Umoja wa Ulaya, ziweke ushawishi wao kuona  kwamba watu wote walio na haki ya kupiga kura huko Zanzibar wanapata haki hiyo bila ya kuwekewa vizuizi.  Othman Miraji amezungumza kwa njia ya simu na Muhene Said Rashid alipokuweko Stockholm, mji mkuu wa Sweden, na  mjumbe huyo alikua na haya ya kueleza.

Mtayarishaji: Othman Miraji Mhariri: Mohamed Abdulrahman