Katibu wa tume ya uchaguzi wa chama cha CUF ziarani katika nchi za Skandinavia
1 Oktoba 2009Matangazo
Anajaribu kuzihimiza nchi hizo, hasa kwa vile
Sweden hivi sasa ni rais wa Umoja wa Ulaya, ziweke ushawishi wao
kuona kwamba watu wote walio na haki ya kupiga kura huko
Zanzibar wanapata haki hiyo bila ya kuwekewa vizuizi. Othman
Miraji amezungumza kwa njia ya simu na Muhene Said Rashid
alipokuweko Stockholm, mji mkuu wa Sweden, na mjumbe huyo
alikua na haya ya kueleza.
Mtayarishaji: Othman Miraji
Mhariri: Mohamed Abdulrahman