Sikiliza msimamo wa kisheria baada ya kuchapishwa habari za kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar katika gazeti la serikali. Katibu Mkuu wa Chama cha Wanasheria Zanzibar, Omar Said Shaaban anautathimini uamuzi huo na kwanza anaeleza kasoro zilizopo katika tangazo hilo.