1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KABUL:Afghanistan yaadhimisha miaka 88 ya uhuru

20 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBXa

Sherehe zimefanyika mjini Kabul kuadhimisha mwaka wa 88 tokea Afghanistan ipate uhuru wake kutoka Uingereza.Akizungumza katika maadhimisho hayo rais Hamid Karzai alitoa mwito kwa vijana wa nchi hiyo,juu ya kujipatia elimu ili waweze kulinda uhuru wao.