Jumuiya za haki-binadamu
30 Desemba 2006Matangazo
LONDON:
Jumuiya za haki za binadamu ulimwenguni, zimeelezea masikitiko yake juu ya kunyongwa kwa Saddam Hussein.
Zimnesema unyongaji wake umekwenda kinyume kabisa na utawala wa sheria na hautasaidia kitu kukomesha umwagaji damu nchini Iraq.
Wakati mashirika kama Amnesty International na Human Rights Watch, yanaafikiana kuwa Saddam alistahiki kuhukumiwa, yameeleza juu ya hivyo, masikitiko makubwa kwamba amenyongwa.Chama cha Amnesty International kimesema kinapinga mtindo wa kunyonaga ulimwenguni.