1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, Trump akiuka sheria kuzuia mawasilaino na raia Twitter

Yusra Buwayhid
20 Juni 2017

Rais wa Marekani Donald Trump analaumiwa kwa kuzuia mawasiliano na wananchi wanaothubutu kumpinga misimamo yake katika ukurasa wake wa Twitter. Baadhi ya Wamarekani wanasema kufanya hivyo ni kukiuka sheria ya kulinda uhuru wa kujieleza. Na nchini Nigeria ibada ya nyimbo za injili yashamiri Instagram.

https://p.dw.com/p/2f0Z4