Vijana wengi hulalamikia sheria kali zinazowekwa na wazazi nyumabni. Sheria na kanuni hizo hazijawahi kuandikwa kokote lakini kila mzazi lazima awe na sheria zake ambazo hutekelezwa na vijana. Katika Makala ya Vijana Mchakamchaka Sylvia Mwehozi anajadili umuhimu wa sheria hizo na namna zinavyomsaidia kijana.