1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jacob Zuma

Jacob Gedleyihlekisa Zuma, GCB ndiye rais wa Afrika Kusini kwa sasa, aliechaguliwa na bunge baada ya ushindi mkubwa wa chama chake cha ANC mwaka 2009. Alichaguliwa tena katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2014.