1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ISTANBUL: Papa Benedikt XVI ashiriki katika misa ya Kanisa la Orthodox

30 Novemba 2006
https://p.dw.com/p/CCo5

Baba Mtakatifu Benedikt wa 16 akiwa katika siku ya tatu ya ziara yake nchini Uturuki ameshiriki katika misa ya Kanisa la Kiorthodox.Baadae leo mchana Papa Benedikt,kama ishara ya upatanisho na Uislamu,atautembelea msikiti maarufu wa mjini Istanbul.