1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Iringa yatumbukia kwenye ghasia

20 Mei 2013

Hali ya utulivu imerejea Iringa,baada ya kuzuka vurugu kati ya askari wa mamlaka ya jiji na wafanyabiashara,kisa kilichosababisha zaidi ya watu 70 kukamatwa akiwemo mbunge wa chama cha Chadema, Mchungaji Peter Msigwa.

https://p.dw.com/p/18avF
TLP CUFand Chadema.jpg. Tansania, Dar Es Salaam, 2005 Aufnahme: Badra Masoud Augustine Mrema (links), Vorsitzender der Tanzania Labour Party TLP, Ibrahim Lipumba (Mitte), Präsidentschaftskandidat der Civic United Front CUF, und Freeman Mbowe, Vorsitzender und Präsidentschaftskandidat der CHADEMA beim Wahlkampf für die Parlaments- und Präsidentschaftswahlen un Tansania am 30. Oktober 2005 Uebertragung der Rechte dieses Bildes an DW-Online Original Message From: badra masoud badra77@yahoo.com To: kiswahili@dw-world.de mamohamed55@hotmail.com Sent: Wednesday, September 28, 2005 2:10 PM Subject: Re-Tanzania Campaign Picture Att: Maya Refer to our conversation I will be sending some pictures as much as I can. all these pictures was taken by DW correspondent Badra asoud in Dar es Salaam, Tanzania are legally to be used by DW.
Mrema, Lipumba, MbowePicha: DW

Hatua hiyo ilifuata baada ya polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia FFU kuingilia kati. Saumu Mwasimba amezungumza na kamanda wa polisi wa mkoa huo Michael Kamhanda ambaye pamoja na kuthibitisha juu ya kurejea kwa hali ya utulivu ameelezea pia juu ya hatma ya waliokamatwa. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Saumu Mwasimba
Mhariri: Mohammed AbdulRahman