1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

IEBC yasema mfumo wake haukudukuliwa

Sylvia Mwehozi
10 Agosti 2017

Tume ya uchaguzi Kenya IEBC yasema mtandao wake haukudukuliwa. Upinzani nchini Afrika Kusini wataka bunge livunjwe na kufanyike uchaguzi wa mapema. Na mwanasoka wa Mexico Rafael Marquez adaiwa kujihusisha na genge la madawa ya kulevya. Papo kwa Papo 10.08.2017.

https://p.dw.com/p/2i1Md