Historia – Kipindi 07 – Ustaarabu wa Kiafrika na Ukoloni
9 Machi 2011
Katika ufalme wa zamani wa Ashanti, msichana kuvunja ungo na kuwa mwanamke lilikuwa tukio kubwa, na kila mtu alialikwa kusherekea kukua kwake! Hiyo ilikuwa mpaka ngoma zilipopigwa kutangaza kuwasili kwa mzungu