1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Harakati za kupinga ukatili wa kijinsia nchini Tanzania

Celina Mwakabwale / M M T1 Desemba 2016

Tanzania bado inakabiliwa na ukatili wa kijinsia ikiwemo ubakaji na ulawiti kwa watoto, ndoa na mimba za utotoni, pamoja na vipigo kwa wanawake kutoka kwa waume zao licha ya juhudi mbali mbali za kupinga hatua hiyo na sheria kali kutungwa bado matukio ya aina hii yanazidi kuongezeka. Sikiliza makala ya Celina Mwakabwale.

https://p.dw.com/p/2TapN