Hali ya uchaguzi Pwani ya Kenya
4 Machi 2013Matangazo
Sudi Mnette wa DW amezungumza na Amina Soud ambae Afisa kutoka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka anaeratibu kaunti za Mombasa, Kwale na Tahita, ambako kuna jumla ya wapiga kura karibu laki saba na kwanza alitaka kujua hali ikoje katika maeneo hayo ya Pwani. Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikilizia masikioni.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Josephat Charo