Upigaji kura za mchujo kuwatafuta wagombea wa vyama vya siasa nchini Kenya umefanyika katika mazingira yenye changamoto nyingi, ikiwemo kutokea vurugu na baadhi ya wagombea wakilalamika kuibiwa kura. Je, matukio haya yanaashiria nini kuelekea uchaguzi mkuu wa Agosti 8, 2017? Ndiyo mada ya Josephat Charo katika kipindi cha Maoni.