1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

GAZA.Waziri mkuu atoa mwito wa kurejeshewa misaada ya kifedha

13 Februari 2007
https://p.dw.com/p/CCSn

Waziri mkuu wa Palestina Ismail Haniya ametowa mwito kwa Marekani na wapatanishi wengine katika mzozo wa mashariki ya kati wafunguwe misaada ya kifedha kwa serikali ya Palestina kufuatia mapatano mapya kati ya vyama vya Hamas na Fatah ya kuunda serikali ya umoja katika eneo hilo.