FREETOWN:Wapatikana na hatia ya uhalifu wa kivita
21 Juni 2007Matangazo
Mahakama ya Sierra Leon inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa katika kuhukumu kesi za uhalifu wa kivita imetoa hukumu za kwanza kwa washtakiwa watatu .
Washtakiwa hao wamepatikana na hatia ya makosa ya ugaidi,kutumia watoto kama askari,ubakaji na mauaji.