1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Wanamuziki chipukizi waimba kwa ajili ya watoto

4 Julai 2012

Wanamuziki chipukizi katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Ferre Gola na Fally Ipupa, wameungana pamoja na kuimba wimbo kwa ajili ya watoto na amani nchini humo.

https://p.dw.com/p/15Qy5
Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa(UNICEF)
Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa(UNICEF)Picha: AP

Mradi huo wa pamoja utafadhiliwa na mashirika ya kimataifa yakiwemo Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF na Shirika la Msalaba Mwekundu. Fedha zitakazotoka baada ya kuuza wimbo huo zitatumiwa kwenye miradi ya elimu na huduma za kiafya za watoto yatima. Hata hivyo kuimba pamoja kwa Ferre Gola na Fally Ipupa kumezusha maoni mengi kwa mashabiki wao kuhusu nani mwanamuziki bora. Taarifa kamili na mwandishi wetu mjini Kinshasa Saleh Mwanamilongo.

(Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Saleh Mwanamilongo

Mhariri: Abdul-Rahman Mohammed