1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Mapigano mapya yazuka tena mashariki mwa Kongo

4 Juni 2012

Kumezuka upya mapigano baina ya waasi wa M23 na jeshi la serikali katika viunga vya Jomba katika wilaya ya Rutshuru mkoani Kivu ya kaskazini mlashariki mwa DRC.

https://p.dw.com/p/157TS
Mapigano yaendelea wilaya ya Rutshuru
Mapigano yaendelea wilaya ya RutshuruPicha: picture-alliance/ dpa

Na wakati huo huo, chama cha zamani cha uasi CNDP, kimetangaza
kujiondoa katika muungano wa vyama vinavyomuunga mkono rais wa DRC
Joseph Kabila.

Mwandishi wetu John Kanyunyu aliyeko mashariki mwa DRC ametutumia
ripoti ifuatayo kutoka Goma.

(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: John Kanyunyu

Mhariri: Mohamed Abdulrahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi