1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DAMASCUS: Syria na Irak kushirikiana kupambana na ugaidi

19 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CCiB
Wapiganaji wa Mogadishu wakipambana na vikosi vya Ethiopia
Wapiganaji wa Mogadishu wakipambana na vikosi vya EthiopiaPicha: AP

Syria na Irak zimetangaza zitashirikiana katika vita dhidi ya ugaidi na uhalifu. Mawaziri wa mambo ya ndani wa nchi hizo mbili walisaini mkataba wa makubaliano hayo mjini Damascus hapo jana. Viongozi hao walisema wanataka kuunda mfumo mpya wa kuyalinda na kuyadhibiti maeneo ya mipaka yao.

Haya yametokea wakati Syria ikikosolewa kwa mara nyengine tena kwa kuwaruhusu wanamgambo wa kigeni kuingia Irak kupitia Syria.