Halmashauri ya taifa ya chama tawala cha Mapinduzi, CCM, huko Tanzania ilikutana kwa faragha kwa siku mbili huko Dodoma hadi jana usiku.
Othman Miraji amezungumza kwa njia ya simu na John Chiligati ambaye ni katibu mwenezi na itikadi wa Chama cha CCM. Kwanza anaelezea hivi kilichokubaliwa huko Dodoma jana kuhusu maridhiano ya Zanzibar...
Mahojiano :Othman Miraji/John Chiligati
Mhariri: Mohamed Abdulrahman