1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi yaishutumu Rwanda kwa uchochezi

Bruce Amani Alakonya 4 Februari 2016

Mzozo wa kidiplomasia kati ya Burundi na jirani yake Rwanda umepata sura mpya, baada ya msemaji wa chama tawala nchini Burundi cha CNDD/FDD- Gerase Daniel Ndabirabe, kutoa tangazo kupitia redio ya taifa akimshutumu vikali rais wa Rwanda Paul Kagame kuwa ni chanzo cha matatizo ya Burundi.

https://p.dw.com/p/1Hpd8