1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi: Uhasama wa kisiasa

12 Juni 2014

Vijana wa Burundi wanazungumzia juu ya hali ya vijana kutovumiliana kisiasa baada ya kujikuta katika vyama tofauti vya kisiasa.

https://p.dw.com/p/1CHOz
Flagge von Burundi
Picha: picture-alliance/Philipp Ziser

[No title]

Vijana wanakwenda hadi kuwapiga na hata kuwauwa vijana wengine wasiochangia chama. Katika mjadala tunataka kujua sababu na mbinu zinazoweza kutumiwa ili kukomesha hali hiyo Burundi.