1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burkina Faso:Wanavyopunguza maambukizi ya UKIMWI kwa watoto

15 Machi 2017

Kundi lenye majasiri wa kujitolea nchini Burkina Faso hushughulika na wanawake walioathirika na UKIMWI ili kuhakikisha kwamba wanawake hao hawawaambukizi watoto wao wachanga Virusi vya UKIMWI.

https://p.dw.com/p/2ZFPN