1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Biashara ya Taxi yadorora Dar es Salaam

21 Machi 2018

Ongezeko la pikipiki za boda boda pamoja na miundo mbinu duni bila kusahau maafisa wa trafiki wanaoitisha hongo kila mara barabarani, ni mambo yaliyochangia kwenda chini kwa biashara ya taxi jijini Dar es Salaam huko Tanzania. Tazama vidio.

https://p.dw.com/p/2uiGQ