1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bei ghali ya data ni kikwazo cha maendeleo kwa vijana Afrika Kusini

John Juma
21 Machi 2018

Mtandao huweza kufungua milango. Lakini wakati data ni ghali, sehemu ya jamii hasa vijana huachwa nyuma. Nchini Afrika Kusini kampeni kama #DataMustFall zinataka kampuni za data kupunguza bei.

https://p.dw.com/p/2ujEM