1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAGHDAD: Shambulizi la gesi ya klorini limeua 3

17 Machi 2007
https://p.dw.com/p/CCI5

Nchini Irak watu wasiopungua 6 wameuawa katika shambulio lililotumia gesi ya klorini. Askaripolisi 2 ni miongoni mwa hao waliofariki. Inasemekana kuwa kama watu 350 wamejeruhiwa vile vile.Kwa mujibu wa ripoti ya majeshi ya Marekani,washambulizi 3 waliyojitolea muhanga walijiripua katika magari ya kusafirishia gesi ya klorini.