Asilimia 60 wafeli kidato cha nne Tanzania
19 Februari 2013Matangazo
Idadi nyingine wengine ambayo sawa na asilimia 5.16 wakitajwa kufaulu katika mtihani huo uliofanywa mwaka jana. Kutoka nchini Tanzania Sudi Mnette amezungumza Godfrey Bonniventura ambae ni Meneja Programu wa Idara ya Utafiti na Uchambuzi wa Sera Haki Elimu, kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikilizia masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Josephat Charo