You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Allied Democratic Forces
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
14.04.2024
14 Aprili 2024
Karibu raia 15 wauawa Beni, DRC
13.04.2024
13 Aprili 2024
ADF yashukiwa kuwaua watu 10 mashariki mwa Kongo
07.04.2024
7 Aprili 2024
Wahouthi walenga meli za Magharibi katika bahari ya Shamu
03.04.2024
3 Aprili 2024
Mahakama Uganda yasimama na sheria ya kupinga ushoga
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Mwanamitindo wa Uganda anayetamba TikTok
Mwanamitindo wa Uganda anayetamba TikTok
Angella Summer Namubiru ni mwanamitindo kutoka Uganda, anaishi maisha ya kijijini na kujizolea umaarufu TikTok. Amekabiliwa na ubaguzi kutokana na rangi nyeusi ya Ngozi yake. Lakini sasa ameamua kutumia mitandao kuelemisha umma. #vijanamubashara
Waasi wa M23 wajiimarisha Mashariki mwa Kongo
Waasi wa M23 wajiimarisha Mashariki mwa Kongo
Hadi sasa hofu imeongezeka katika mjini Sake ambamo makundi ya vijana wazalendo wamekuwa wakilengwa kwa makombora na M23
Wafanyabiashara wagoma Kampala
Wafanyabiashara wagoma Kampala
Mji mkuu wa Uganda Kampala umetikiswa na mgomo wa wafanyabiashara. Mgomo huo umetatiza shughuli za kawaida katika mji hu
Paul Kagame: Shujaa au Dikteta?
Paul Kagame: Shujaa au Dikteta?
Kagame humwagiwa sifa kama mwokozi aliyemaliza mauaji ya kimbari lakini wengine wanamchukulia kama kiongozi katili.
Mahakama Uganda yapigilia msumari sheria inayopinga LGBTQ
Mahakama Uganda yapigilia msumari sheria inayopinga LGBTQ
Kulingana na mahakama hiyo, sheria hiyo dhidi ya mashoga inalinda utamaduni na hadhi ya watu wa taifa la Uganda.
Mzozo wa Mashariki mwa Kongo wazidi kuleta wasiwasi
Mzozo wa Mashariki mwa Kongo wazidi kuleta wasiwasi
Msaada wa kibinadamu haufiki kwa watu wenye mahitaji na juhudi za kufikisha msaada wa kibinadamu zimekwama.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Afrika Mashariki inaweza kuwa na viwango sawa vya kodi?
Bunge la EALA limepitisha muswada wa kusawazisha sheria za kodi na ushuru lakini kuna mashaka ikiwa utaridhiwa.
Uganda yapinga kuondolewa AGOA
Hii ina maana kuwa Uganda imepoteza soko la bidhaa zake mbalimbali ikiwemo zile za vitu vya sanaa, viungo na ngozi.
Abiria wahangaishwa katika uwanja wa ndege Uganda
Wadadisi wanasema uamuzi huenda ukawa umechukuliwa kufuatia vilio vya wasafiri wanaodai kunyanyaswa katika úwanja huo.
Uganda yakabiliwa na wimbi kubwa la wakimbizi wa Congo
Wakimbizi hao wametembea kwa miguu na kukabiliana na hali ngumu ya mvua na mafuriko ambayo yanalikumba eneo hilo
UN yaondoka Mali huku ghasia zikiongezeka
Waasi wanaopigania kujitenga Kaskazini mwa Mali walichukuwa udhibiti wa kambi ya Kidal ilioachwa na Umoja wa Mataifa.
Mombasa kivutio cha watalii Afrika Mashariki
Shirika la ndege la Uganda sasa limeutaja mji wa mombasa kama njia yake ya faida kubwa Afrika Mashariki.