1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika Kusini: Ghasia mjini Johannesburg

1 Machi 2012

Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimemfukuza chamani kiongozi wake mashuhuri wa vijana wa chama hicho, Julius Malema.

https://p.dw.com/p/14CKw
Julius Malema,kiongozi wa chama cha ANC wa vijana
Julius Malema,kiongozi wa chama cha ANC wa vijanaPicha: picture-alliance/dpa

Kitendo hicho kimezusha mmeguko ndani ya chama na kuzusha vurugu katika maeneo kadhaa ya nchini humo.

Sudi Mnette amezungumza hivi punde na mwandishi wetu wa mjini Johannesburg, Issac Khomo, ambaye alielzea hali ilivyo.

(Kusikiliza mazungumzo hayo, tadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Sudi Mnette

Mhariri: Josephat Charo