Mripuko wa mabomu yaliyotegwa kwenye lori la mafuta katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, umesababisa mauaji ya zaidi ya raia 80// Rais Uhuru amezindua reli ya kisasa nchini Kenya// Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akitoa namba yake ya simu ya mkononi kwa viongozi mbalimbali wa dunia akiwaambia kwamba wanaweza kumpigia moja kwa moja.