1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.11.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S30 Novemba 2017

Marekani imeitolea mwito jumuiya ya kimataifa kuitenga Korea Kaskazini na kukata mahusiano ya kidiplomasia na kibiashara// Upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeitisha hii leo maandamano kushinikiza rais Joseph Kabila aondoke madarakani// Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Fransis amewasili mjini Dhaka, nchini Bangladesh.

https://p.dw.com/p/2oWdf