Mfalme wa kimila nchini Uganda Jumanne hii amefunguliwa mashitaka ya mauaji na kupelekwa kwenye kizuizi chenye ulinzi mkali// Miaka 22 baada ya mauaji ya halaiki, Rwanda imetangaza kuwashitaki mahakamani wafaransa 20// Rais wa Tanzania John Magufuli ameibatilisha hati miliki ya kipande kikubwa cha shamba la aliyekuwa waziri mkuu Fredrick Sumaye kwa sababu halikuwa limeendelezwa.