1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

SK2 / S02S30 Oktoba 2016

Tuliyonayo mchana huu, Majeshi ya serikali nchini Syria pamoja na waasi waendelea kupambana leo katika eneo la magharibi la mji wa Aleppo//Waziri wa mambo ya kigeni wa ujerumani Frank-Walter Steinmeier amewasili nchini Vietnam kuanza ziara yake ya siku tatu //Utiaji saini makubaliano ya kibiashara yajulikanayo kama CETA kati ya Umoja wa Ulaya na Canada wacheleweshwa.

https://p.dw.com/p/2RttO