Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeahirisha hapo jana kikao juu ya azimio jipya kuhusu kuongeza muhula wa kikosi chake cha kulinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, MONUSCO// Kutelekezwa kwa watoto ndio aina ya unyanyasaji wa watoto iliyokithiri nchini Kenya.