Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto UNICEF, limesema mwaka 2017 ulikuwa miongoni mwa mibaya zaidi kwa watoto wanaoishi katika maeneo ya vita na mizozo// Watu 40 wameuawa na wengine wengi wamejeruhiwa kufuatia milipuko iliyotokea katika kituo cha kitamaduni cha Kishia mjini Kabul.