Viongozi wa Umoja wa Ulaya watakuwa na fursa ya kuyajadili mapendekezo mapya ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuhusu mageuzi katika Umoja huo// Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani,(WHO) imebainisha kuwa takribani mimba 25 milioni zinazotolewa kila mwaka.