Serikali ya Pakistan na makundi ya Kiislamu yanaikosoa Myanmar kwa kuwatesa waislamu wa Rohingya katika jimbo la Rakhine// Makundi ya Kiyahudi ndani ya Ulaya na Marekani yameelezea wasiwasi wao kufuatia mafanikio ya chama cha siasa kali za mrengo wa kulia kinachojiita chama mbadala kwa Ujerumani AfD.