Mpango wa muungano wa upinzani nchini NASA kuwashawishi wafuasi wake kutwaa kituo cha kupiga kura inaendelea kupingwa huku wadau wakihoji kwamba haiambatani na sheria// Urusi imeiamuru Marekani kupunguza idadi ya wanadiplomasia na maafisa wake wengine walioko katika ubalozi wa Moscow// Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al Aqsa imemalizika kwa amani kuliko ilivyokuwa ikitarajiwa.