Kenya: Jubilee na NASA wameweka hadharani ilani zao cha uchaguzi katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Hali ya mambo sio shwari katika mpaka kati ya Tanzania na Kenya wa Namanga. Ujerumani: Wanasiasa na mashirika yasiyo ya kiserikali yanasema hatua kadhaa za usalama zilizochukuliwa zimekwenda mbali mno na zinaathiri uhuru wa mtu binafsi.