Kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis ameanza ziara nchini Misri, katika juhudi za kuhimiza maelewano kati ya Wakristu na Waislamu na kuepusha ghasia zinazofanywa kwa kutumia jina la Mungu// Ujerumani imekataa madai ya mataifa wenziwe wanachama wa Umoja wa Ulaya kuzuia Uturuki kujiunga na Umoja huo.