Cologne yamtangaza Volker Finke kuwa kocha wake wa muda baada ya Frank Schaefer kujiuzulu, kautoka klabu hiyo ya Bundesliga iliyopata mshtuko.
Mvua kubwa za El nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania zimesababisha vifo vya watu 155 nchini Tanzania+++Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameonya kwamba Umoja wa Ulaya unaweza kuwa hatarini kutokana na ushindani kutoka Marekani
Nchini Uganda mahakama ya kijeshi imeamuru kuachiwa huru kwa raia 32 wa Kenya waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 kila mmoja gerezani mwaka jana 2023.
Marekani, Uingereza, Ufaransa na zaidi ya nchi kumi na mbili zimetoa wito kupitia taarifa ya pamoja kwa kundi la wanamgambo wa Hamas kuwaachilia mateka wanaowashikilia.