1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.03.2018 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S28 Machi 2018

Viongozi wa juu kabisa wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA wamelala rumande jijini Dar es Salaam baada ya kunyimwa dhamana kutokana na mashitaka yanayowakabili// Vyombo vya habari vya serikali ya China na vile vya Korea Kaskazini vimethibitisha kwamba kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekutana na rais wa China Xi Jinping mjini Beijing.

https://p.dw.com/p/2v7To