Mahakama ya Juu ya Marekani imeruhusu kuanza tena kutekelezwa kwa sehemu marufuku ya usafiri iliyotangazwa na Rais Donald Trump // Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema raia wa Umoja wa Ulaya wanaoishi nchini humo lazima watume ombi la kubakishwa haki zao baada ya Brexit // Na Jeshi la Chad limelifurusha kundi la Boko Haram kutoka kwenye visiwa vitano vya Mto Chad