Raila Amollo Odinga ndiye mgombea Urais wa muungano wa Upinzani “Super National Alliance” - NASA// Kumetiwa saini ajenda maalumu ya utekelezwaji wa mkataba wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel aliamua kuvunja matumaini ya Uingereza kwamba kujitoa kwao katika Umoja wa Ulaya kutakuwa na athari ndogo katika mahusiano.